Tuesday, July 16, 2013

TANZIA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wake Bw. Dismas Mathias Kajogoo, Afisa Mawasiliano Mkuu kilichotokea Moscow, Urusi

Taarifa ya kusafirisha mwili wa Marehemu kuja Tanzania kwa ajili ya mazishi itatolewa baadaye.


BWANA AMETOA NA BWANA AMETWA, JINA LAKE LIHIMIDIWE MILELE. AMEN.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.