Friday, July 15, 2016

Kikao cha 39 cha Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika pichani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) mwenye miwani mbele, akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Idaya Afrika Balozi Samweli Shelukindo katika Mkutano wa 29 wa Umoja wa Afrika, Mkutano huo umewakutanisha Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi 54 Mkutano huo umefanyika nchini Rwanda. 
Waziri Mahiga akifuatilia Mkutano uliokuwa ukiendelea, nyuma kulia ni Balozi Shelukindo na  Balozi Naimi Azizi nao wakiwa katika kikao hicho.

Sehemu ya Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.