Friday, July 29, 2016

Waziri Mahiga ashiriki hafla ya kuwaaga Mabalozi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb), akizungumza kwenye hafla  ya kuwaaga Mabalozi wa nchi za Ireland, Canada na Uingereza wanaomaliza muda wao wa uwakilishi nchini. Kutoka kushoto ni  Mhe. Fionnuala Gilsenan, Balozi wa Ireland, Mhe. Alexandre Leveque, Balozi wa Canda na Mhe. Dianna Melrose, Balozi wa Uingereza. Katika mazungumzo hayo Dkt. Mahiga aliwashukuru kwa kuendeleza na kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Mataifa yao hapa nchini hususan katika kuchangia miradi mbalimbali ya  maendeleo. 
Waziri Mahiga akiendelea kuzungumza.
Mkurugenzi wa Idara ya  Ulaya na Amerika, Balozi Joseph Sokoine akitoa neno la shukrani. 
Waziri Mahiga akimkabidhi picha yenye mchoro wa ndege zilizochorwa kwa ustadi wa hali ya juu
Balozi wa Canada akipokea zawadi
Balozi Melrose naye akipokea zawadi yake
Dkt. Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi  hao
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.