Tuesday, November 27, 2018

Dkt. Ndumbaro akutana na Mwakilishi wa Aga Khan

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbarom (kulia) akimsikiliza Mwakilishi wa Mfuko wa Aga Khan nchini, Bw. Amin Kurji walipokutana katika Ofisi ndogo ya Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Novemba 2018.

Mazungumzo kati ya Dkt. Ndumbaro na Bw. Kurji yalijikita katika kujadili masuala ya ushirikiano na shughuli za maendeleo ambazo zimekuwa Mfuko wa Aga Khan nchini katika kuhudumia wananchi hususan katika sekta ya Afya na Elimu.

Mazungumzo yakiendelea

Dkt. Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Kurji 
Dkt. Ndumbaro akiagana na Bw. Kurji mara baada ya kumaliza mazungumzo.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.