Monday, November 12, 2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU FURSA ZA MASOMO NCHINI PAKISTAN

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

FURSA ZA UFADHILI WA MAFUNZO KWA WATANZANIA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo ya muda mrefu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan.

Mafunzo hayo ambayo ni kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili yatafanyika nchini Pakistan kwa kipindi cha mwaka 2018/2019.

Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanapatikana kupitia http://www.hee.gov.pk/english/scholarshipsgrants/ARL-FS

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 15 Novemba, 2018.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma
12 Novemba, 2018


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.