Wednesday, November 7, 2018

Tanzania na New Zealand kuimarisha sekta ya ufugaji

Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamisi Ulega (kulia) amekutana na kufanya mazungumzl na Balozi wa New Zealand nchini, Mhe. Mike Burrell alipomtembelea ofisini kwake jana. Katika mazungumzo hayo, viongozi hao walijadili namna Tanzania na New Zealand zitakavyoweza kushirikiana zaidi katika kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi nchini.
Mhe. Mike Burrell akisisitiza jambo katika mazungumzo hayo. Mwingine katika picha ni Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Bertha Makilagi
Mhe.Abdallah Hamisi Ulega akiagana na Mgeni wake, Mhe. Mike Burrell

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.