Friday, November 23, 2018

Waziri Mahiga amuaga Balozi wa Jamhuri ya Korea


Balozi wa Jamhuri ya Korea, Mhe. Song Geum Young (kushoto) akifurahia zawadi aliyopewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga jana. Mhe. Balozi Song amemaliza muda wa uwakilishi nchini, hivyo alikutana na Mhe. Waziri kwa ajili ya kuagana.

Ukumbusho wangu huu, Mhe. Waziri. Hayo ni maneno yanayosadikiwa kutamkwa na Mhe. Balozi Song wakati akimkabidhi zawadi Mhe. Mahiga jana.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.