Friday, October 23, 2015

Balozi Luvanda akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uturuki

Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Baraka Luvanda akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Yasemin Eralp. Mazungumzo hayo yalihusu ukimalishaji wa Makubaliano mbalimbali kati ya Tanzania na Uturuki ili yaweze kusainiwa na kuanza kutekelezwa.
Balozi Luvanda akisisitiza jambo katika mazungumzo hayo
Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Yasemin Eralp akimsikiliza kwa makini Balozi Luvanda ambaye hayupo pichani
Balozi wa Uturuki akibadilishana mawazo na Afisa wake wakati wa mazungumzo hayo
Balozi wa Uturuki, Mhe. Yasemin Eralp akimkabidhi nyaraka Balozi Luvanda
Balozi Luvanda pamoja na Afisa wake, Bw. John Pangipita wakimsikiliza Balozi wa Uturuki hayupo pichani.

Mazungumzo yanaendelea





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.