Friday, October 30, 2015

Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Sudan nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Balozi wa Sudan hapa nchini, Mhe. Dkt. Yasir Mohammed Ali alipofika Wizarani kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Sudan. 
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Samwel Shelukindo (kushoto) akifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Balozi Ali (hawapo pichani). Kulia ni Afisa Mambo ya Nje. 
Balozi Ali nae akichangia jambo wakati wa mazungumzo na Balozi Mulamula
Mazungumzo yakiendelea
Balozi Mulamula akiagana na  Balozi Ali mara baada ya kumaliza mazungumzo baina yao.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.