Wednesday, October 28, 2015

Taarifa kwa Vyombo vya Habari - Uhamisho wa Kituo

Balozi Peter A. Kallaghe 


Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuhamisha kituo Balozi Peter A. Kallaghe aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil.

Uhamisho huo unaanzia tarehe 23 Oktoba, 2015.


Imetolewa na:
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
Dar es Salaam

28 Oktoba, 2015

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.