Thursday, October 1, 2015

Katibu Mkuu Nje azungumza na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania NY

Balozi Liberata Mulamula, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania Jijini New York, Marekani. 


Balozi Mulamula akiwa kwenye picha ya pamoja na maofisa wa Ubalozi wa Tanzania New York wakiongozwa na  Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa (wa pili kushoto) na Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi, Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa (wa kwanza ksuhoto). Wengine kwenye ujumbe wa Balozi Mulamula kutoka Makao Makuu ni Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa (wa kwanza kulia) na Bi. Mindi Kasiga, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Mambo ya Nje (wa kwanza kushoto mstari wa juu).

Mkutano ukiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.