Monday, October 12, 2015

Katibu Mtendaji wa SADC amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Katibu Mtendaji wa SADC, Bi. Stergomena Tax, ofisini kwake kwa mazungumzo kuhusu ujio wa timu ya waangalizi wa uchaguzi wa SADC itakayoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Msumbiji.
 Katibu Mkuu akisisitiza jambo katika mazungumzo hayo.

Katibu Mtendaji wa SADEC, Bi. Stergomena, akisisitiza jambo katika mazungumzo hayo.
Mazungumzo yakiendelea.
 Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Balozi Innocent Shio (kushoto) na Afisa Mambo ya Nje Bw. Ally Ubwa wakifuatilia mazungumzo hayo.
 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akiagana na Katibu Mtendaji wa SADC, Bi. Stergomena Tax, mara baada ya mazungumzo kuhusu ujio wa timu ya waangalizi wa SADEC itakayoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Msumbiji.
========================
PICHA NA: REUBEN MCHOME.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.