Friday, October 23, 2015

Mabalozi wa Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wamtembelea Katibu Mkuu Nje.

Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini Mhe. Filiberto Sebregondi akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.
Ujumbe ulioambatana na Balozi Sebregondi, wakifuatilia mazungumzo hayo.
Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya Balozi Joseph Sokoine (kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Balozi Samwel Shelukindo, wakifuatilia mazungumzo hayo. 
 Ujumbe ulioambatana na Balozi Sebregondi, wakifuatilia mazungumzo hayo.
 Mkutano ukiendelea.
===============
PICHA NA: REUBEN MCHOME.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.