Thursday, July 21, 2022

BALOZI MUSHY ATAFUTA FURSA NCHINI AUSTRIA


Balozi wa Tanzania nchini Austria, Mhe. Celestine J. Mushy  (katikati) akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo la Austria (Austrian Development Agency - ADA), Mhe. Balozi Friedrich Stift (kushoto) na Mkurugenzi wa  Idara ya Programme na Miradi ya Kimataifa, Bw. Heinz Habertheuer.  Viongozi hao walizungumzia masuala ya namna ya kuisaidia na kuiingiza Tanzania  kwenye  kundi la nchi zinazopewa kipaumbele kwa miradi inayofadhiliwa na Shirika hilo.   Vilevile, Mkurugenzi alieleza kuwa wanakamilisha mpango wa kuongezea mtaji wa Kampuni ya BioTan Group Ltd ya mwekezaji wa Austria inayozalisha na kubangua Korosho bila matumizi ya  kemikali (organic cashewnut).






 


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.