Thursday, July 7, 2022

WAZIRI MULAMULA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA TWAWEZA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akipokea jarida kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza nchini, Bw. Aidan Eyakuze alipomtembelea tarehe 6 Julai 2022 katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Waziri Mulamula akizungumza na Bw. Eyakuza ambapo pamoja na mambo mengine, Bw. Eyakuze alienda kujitambulisha kwa Mhe. Waziri pamoja na kueleza majukumu yanayotekelezwa na Taasisi ya TWAWEZA nchini.

Picha ya pamoja Mhe. Waziri Mulamula, Bw. Eyakuze pamoja na ujumbe ulioambatana nao katika mazungumzo hayo. 

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.