Wednesday, September 11, 2019

KATIBU MKUU EAC AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat Mfumukeko. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Jijini Dar Es Salaam.
 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat mfumukeko akifuatilia mazungumzo baina yake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb) (hayupo pichani) Mazungumzo hayo yamefanyika wakati Katibu Mkuu huyo na ujumbe wake walipofika Jijini Dar es Salaam katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa nia ya kuzungumza masuala mbalimbali yanayoihusu Jumuiya hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb) akifuatilia mazungumzo baina yake na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat mfumukeko. Mazungumzo hayo yamefanyika Jijini Dar es Salaam katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa nia ya kujadili masuala mbalimbali yanayoihusu Jumuiya hiyo.

 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat mfumukeko na Ujumbe wake wakifuatilia mazungumzo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb) (hayupo pichani) Mazungumzo hayo yamefanyika wakati Katibu Mkuu huyo na ujumbe wake walipofika Jijini Dar es Salaam katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa nia ya kuzungumza masuala mbalimbali yanayoihusu Jumuiya hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat Mfumukeko mara baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyolenga kujadili masuala mbalimbali kuhusu Juimuiya ya Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.