Saturday, September 28, 2019

PROF. PALAMAGAMBA JOHN KABUDI AHUTUBIA KATIKA MKUTANO MKUU WA 74 WA BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akihutubia katika Mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Jijini New York, Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akihutubia katika Mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Jijini New York, Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika ukumbi wa Umoja wa Mataifa muda muchache kabla ya hutubia katika Mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Jijini New York, Marekani. Kulia ni Waziri wa Afya wa Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohamed akifuati na Waziri wa nchi,Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na nyuma ya Prof. Kabudi ni Balozi Ali Abeid Amani Karume. 

Ukumbi wa mikutano wa Umoja wa Mataifa kunaofanyika Mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa uliopo New York,Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (mwenye tai nyekundu katikati) akiwa katika  picha ya pamoja na baadhi ya viongozi muda mfupi baada ya kumaliza kuhutubia katika Mkutano Mkuu wa 74 wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa,New York Marekani.

Baadhi ya viongozi na watumishi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa New York,Marekani wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) muda mfupi baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano mkuu wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York,Marekani.



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.