Monday, September 23, 2019

PROF. KABUDI ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI UNAOENDELEA NEW YORK - MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika mkutano wa Wakuu wa Nchi kuhusu mabadiliko ya tabianchi unaofanyika wakati wa kikao cha 74 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York, Marekani. Mbali kulia kwa Waziri Kabudi ni Rais wa Marekani Mhe. Donald Trump akifuatiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mhe. Mike Pompeo. Wengine ni Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) Mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu ulinzi na usalama na Balozi na mwakilishi  wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mero.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.