Wednesday, September 18, 2019

PROF. KABUDI AMUAGA BALOZI WA RWANDA HAPA NCHINI MHE. KAYIHURA.

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Afrika katika Wazara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Wilbroad Kayombo akizungumza wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) kwa jailli ya kumuaga Balozi wa Rwanda hapa Nchini Mhe. Eugene Kayihura,ambaye amemaliza muda wake wa utumishi Nchini Tanzania. Balozi Kayihura amekuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano.

Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Eugene Kayihura akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa ajili ya kumuaga Balozi Kayihura ambaye amemaliza muda wake . Balozi Kayihura amekuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akizungumza jambo wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa jailli ya kumuaga Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Eugene Kayihura ambaye amemaliza muda wake wa utumishi hapa nchini baada ya kuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Eugene Kayihura pamoja na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na wale wa Ubalozi wa Rwanda katika chakula cha pamoja kilichoandaliwa na Waziri,Prof. palamagam,ba John Kabudi kwa jailli ya kumuaga Balozi wa Rwanda hapa Nchini Mhe. Kayihura ambaye amemaliza muda wake wa Utumishi. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akimkabidhi zawadi ya kinyago cha umoja Balozi wa Rwanda hapa Nchini Mhe. Eugene Kayihura ambaye amemaliza muda wake wa Utumishi hapa Nchini. Balozi Kayihura amekuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda hapa Nchini Mhe. Eugene Kayihura mara baada ya kupata chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa Utumishi hapa Nchini. Balozi Kayihura amekuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiagana na Balozi wa Rwanda hapa Nchini Mhe. Eugene Kayihura mara baada ya kupata chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa Utumishi hapa Nchini. Balozi Kayihura amekuwa Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.