Thursday, September 19, 2019

PROF. KABUDI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA POLAND

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland Mhe. Marcin Przydacz. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na

Ushirikiano wa Afrika Mashariki Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) pamoja na baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland Mhe. Marcin Przydacz (hayupo pichani)

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland Mhe. Marcin Przydacz pamoja na ujumbe alioambatana nao wakimsikiliza Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb)(hayupo pichani)
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland Mhe. Marcin Przydacz wakiwa katika mazungumzo katika Ofisi ndogo za Wizara
 ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akimkabidhi zawadi ya picha ya kuchora ya Mlima Kilimanjaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland Mhe. Marcin Przydacz mara baada ya mazungumzo rasmi waliyoyafanya kaaika ofisi neogo za Wizara ya Mambo ya 

Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.