Sunday, September 22, 2019

PROF.KABUDI AWASILI NEW YORK MAREKANI KUSHIRIKI MKUTANO WA 74 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA

Balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  katika Umoja wa Mataifa,Balozi Modest Mero (Kulia) akitoa maelezo kuhusu Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (hayupo pichani) utakaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (kushoto) na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Balozi Wilson Masilingi wakifuatilia maelezo ya Balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  katika Umoja wa Mataifa,Balozi Modest Mero mara baada ya kuwasili New York,Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiandika jambo wakati akipatiwa maelezo na Balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  katika Umoja wa Mataifa,Balozi Modest Mero (hayupo picha)kuhusu Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019. Kulia ni Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Balozi Wilson Masilingi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipitia moja ya nyaraka kuhusu Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019.
Baadhi ya wajumbe na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao cha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (hayupo pichani) wakati akipewa maelezo mbalimbali kuhusu Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019. Wakwanza kulia ni Balozi Mteule Bujiku Sakila,mshauri wa Rais kuhusu masuala ya diplomasia.
Baadhi ya wajumbe na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao cha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (hayupo pichani) wakati akipewa maelezo mbalimbali kuhusu Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019. 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika kikao kazi na baadhi ya Mabalozi pamoja na Ujumbe aliombatana nao kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York Marekani kuanzia September 21,2019 hadi September 30,2019. 



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.