Wednesday, September 25, 2019

PROF. PALAMAGAMBA JOHN KABUDI KATIKA PICHA YA PAMOJA NA RAIS WA MAREKANI DONALD TRUMP NA MKEWE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Marekani Donald Trump na Mkewe Melania. Prof. Palamagamba John Kabudi yuko New York Marekani kuhudhuria mutano wa 74 wa Baraza la Umoja wa Mataifa.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.