Thursday, September 26, 2019

PROF. KABUDI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA WHO NEW YORK MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa pamoja na Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kulia ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mero. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa katika mazungumzo na Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).Mazungumzo hayo yamefanyika New York, Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiagana na  Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) mara baada ya kumaliza mazungumzo walipokutana Jijini New York Nchini Marekani.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.