Thursday, September 22, 2022

BALOZI MULAMULA ASHIRIKI HAFLA NEW YORK

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Arika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula ameshiriki katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa Mawaziri wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula ameshiriki katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa Mawaziri wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula ameshiriki katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa Mawaziri wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula ameshiriki katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa Mawaziri wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Arika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula ameshiriki katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum  na Ubalozi wa Leinchestein kwa ajili ya Mawaziri Wanawake wanaoshiriki mkutano wa UNGA 77 unaoendelea jijini New York

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.