Tuesday, September 20, 2022

UJUMBE WA TANZANIA UMESHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WA AFRIKA KATIKA UONGOZI

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mindi Kasiga (wa pili kulia) ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Kongamano la Wanawake wa Afrika katika Uongozi lililofanyika kuanzia tarehe 15 hadi 17 September jijini Durban, Afrika Kusini. Kulia ni Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Bi. Happiness Godfrey.

Pamoja na mambo mengine kongamano hilo pia limejadili juu ya kujenga uwezo wa wanawake kushika nafasi mbalimbali za uongozi.

Mtaalamu wa masuala ya Tafiti na Sera katika Taasisi ya Uongozi - Tanzania, Bi. Fortunata Makene akipokea zawadi ya Taasisi ya Wanawake wa Afrika kwenye Uongozi kutoka kwa Balozi wa Nigeria nchini Afrika Kusini, Mhe. H.M Manta kutambua mchango wa utaalamu wake katika masuala ya uongozi barani Afrika wakati wa kongamano hilo.

Majadiliano yakiendelea.

Ujumbe wa Tanzania ukiteta jambo baada ya mkutano.

Majadiliano yakiendelea.

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.