Monday, March 11, 2019

Balozi wa Tanzania nchini India awasilisha Hati za Utambulisho nchini Bangladesh

Balozi wa Tanzania nchini India anayewakilisha pia nchini Bangladesh, Mhe. Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa Bangladesh, Mhe. Md. Abdul Hamid katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Dhaka.
Mhe. Balozi Luvanda akizungumza na Mhe. Rais Md. Abdul Hamid mara baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais huyo
Mhe. Balozi Luvanda akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Rais Md. Abdul Hamid mara baada ya mazungumzo baina yao
Mhe. Balozi Luvanda akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Rais Md. Abdul Hamid mara baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho. Kushoto ni Dkt. Kheri Goloka, Afisa wa Ubalozi wa Tanzania ambaye alifuatana na Balozi Luvanda kwenye hafla hiyo

Mhe. Balozi Luvanda akiwa mbele ya gwaride la heshima mara baada ya kuwasili Ikulu ya Dhaka,  Bangladesh

Mhe. Balozi Luvanda akipita katikati ya gwaride la heshima mara baada ya kuwasilis Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati za utambulisho

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.