Thursday, March 7, 2019

Rais Kagame awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (kulia) akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ziara ya siku mbili. 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi akitembea na Rais Kagame kuelekea katika chumba cha wageni maalum.
Rais Kagame akiwapungia mkono wananchi waliofika uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea.
Prof. Kabudi na Rais Kagame wakiingia kwenye gari kwa ajili ya kuelekea Ikulu jijini Dar Es Salaam.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.