Friday, March 22, 2019

Wakuu wa Vyombo vya usalama wajadili usalama wa bomba la mafuta

Juu na chini ni Mkutano wa Pamoja wa Uganda na Tanzania wa Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama (wawakilishi wao) walipokutana hivi karibuni kuzungumzia mambo muhimu ya usalama wa Bomba la Mafuta kati ya Tanzania na Uganda.

Kamati Maalum wakiwa katika picha ya Pamoja. Ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Yacoub Mohamed na Ujumbe wa Uganda uliongozwa na Mnadhimu Mkuu wa UPDF Luteni Jenerali Joseph Musanyufu.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.